TANGAZO LA KAZI

IGOYE HEALTH LABORATORY CENTER ANAPENDA KUTANGA NAFSI YA KAZI MTECHINOLOGIA MAABARA KWA KUSIMAMIA MAABARA

IGOYE HEALTH LABORATORY CENTER.

Mkataba huu umefanyika leo TAREHE……MWEZI……MWAKA 20…..
KATI YA
IGOYE HEALTH LABORATORY CENTER yenye usajili namba……..
Ni HEALTH LABORATORY CENTER inayotoa huduma za afya (vipimo) katika kijiji cha ugansa , wilaya ya kaliua mkoa wa tabora.
NA
Ndugu……………………………wa S.L.P………wilaya………..mkoa……………Mawasiliono namba…………………..Ambaye atajulikana kama MWAJILIWA kwa upande mwingine.
Wakati MWAJIRI ameonyesha nia ya kumuajiri katika kituo hiki cha afya(vipimo), Na wakati MWAJILIWA amekubali Kuajiliwa na kufanya kazi kwa IGOYE HEALTH LABORATORY CENTER.
BASI INASHUHUDIWA NA KUKUBALIWA NA PANDE ZOTE MBILI KAMA IFUATAVYO:
A: WAJIBU WA MWAJIRI
Kulipa mshahara kila mwezi kulingana na makubaliano.
Atatoa likizo moja ya siku 28 kila mwaka au likizo ya kila miezi mitatu na sivinginevo.
Atatoa matibabu bule kwa mwajiliwa mme na mke,ambayo yanapatikana kituoni na yale yanayopatikana nje ya kituo.Lakini mwajiliwa anapaswa kujiunga na mufuko wa Bima ya afya.
Mwajiri atasimamia sheria na kushirikiana na kamati ya mabolesho ya sekta hii (uality Improvement Team).
Mwajiliwa atakuwa chini ya uangalizi wa miezi sita kabla ya kuthibitishwa kazini Matazamio yatahusu utendaji wake wa kazi na mwenendo mzima katika kupenda , kubuni na kutekeleza majukumu yake ya kila siku,Endapo mwajiri hataridhishwa na utendaji wake katika kipindi alichotaja mwajiri hata sita kushirikiana na kamati ya maendeleo,kukutoa au kukuondoa kulingana na sheria na taratibu zilizowekwa na kamati hiyo.
B. WAJIBU WA MWAJILIWA.
Kuwahi kazini ni saa 1:30 Am asubuhi, kufanaya kazi kwa bidii na kujiamini bila kusimamiwa.
Kutotumia kilevi cha aina yoyote ile kama vile pombe na madawa ya kulevya kwenye mudaa wa kufanya kazi.
Kufanya kazi kwa uadilifu ,ubunifu ikiwa ni pamoja na kutunza mali ,vifaa na majengo.Kumbuka mkosa ya wizi au uharibifu wa mali yoyote ile sheria kali itachukuliwa dhidi yako.
Kutoa taarifa kwa uongozi kama unatoka nje ya eneo la kazi,kama hutofanya hivyo yakupasa kuwepo kazini mdaa wote.
Kuwa nadhifu wewe binafsi na mazingira yanayokuzunguka kazini na kuvaa sare muda wa kazi mfano LABORATORY COAT.
Kutumia lugha nzuri kwa wagonjwa au wateja na wafanyakazi wengine. Lugha ya mtusi na ugomvi kazini haviruhusiwi.
Kuzingatia taratibu na maadali za taaluma za afya(kutokutoa siri za wagonjwa,kutofanya migomo baridi)kwani hayo hupunguza ufanisi wa kazi.
Kutoa taarifa kabla ya miezi mitatu (3) kabla ya kuacha kazi kwa sababu zako binafsi.utarudisha mushahara wa mwezi mmoja iwapo utaamua kuacha kazi ndani ya masaa 24 kwa sababu zako mwenyewe.
Utapangiwa kazi nyingine pindi mwajiri atakapo ona unauwezo wa kufanya hiyo kazi iliyokusudiwa wakati wowote itakapo bidi kufanya hivyo.
HUDUMA ZITOLEWAWAZO IGOYE HEALTH LABORATORY CENTER
Zifuatazo ni huduma zitolewazo ,Ambazo mwajiliwa atawajibika kulingana na masitahiki yake na ujuzi alionao:
Uchunguzi wa maabara(LABORATORY INVESTIGATION)
Ushauri nasaha wa vipimo.
HIVYO BASI Mwajiliwa nimekubali KUAJILIWA na IGOYE HEALTH LABORATORY CENTER katika nafasi ya………………………..kwa malipo ya Tsh………………………..kwa mwezi na niko tayali kufanya kazi kulingana na miongozo ya wizara ya afya.
Mkataba huu utadumu kwa muda wa MIAKA/MWAKA………………..
Kuanzia TAREHE…………MWEZI…………MWAKA 20…………..
Mpaka TAREHE……………MWEZI…………MWAKA 20…………
INAKUBALIWA NA KUSHUHUDIWA ZAIDI YA PANDE ZOTE MBILI KAMA IFUATAVYO:
Mwajiri na mwajiliwa tunathibitisha kwamba tumekubaliana na vifungu hivyo vya mkataba huu na kutia saini zetu kama inavyoonyesha hapo chini na katika muda na siku zilizotajwa hapo juu.
Mkataba huu umetiwa sahihi na MWAJIRI, IGOYE HEALTH LABORATORY CENTER Ndugu jina………………………………SAHIHI………CHEO……………………..MWAJIRI
LEO TAREHE………MWEZI……….MWAKA 20……………..

Mkataba huu umetiwa sahihi na MWAJILIWA wa IGOYE HEALTH LABORATORY CENTER Ndugu………………………………SAHIHI………CHEO……………………MWAJIRIWA LEO TAREHE………………MWEZI…………….MWAKA 20…………..

Maombi yaambatanishwe na mkataba huu maombi yatumwe kwenye namba ya simu hapo Kwenye mkataba au hii 0626349773

eldadlichard@gmail.com

ELDAD LICHARD LEMBUYE based on prevent viral reactivation in high risk patients at health center.28/04/2023

How I prevent viral reactivation in high-risk patients
Viral infection remains a serious cause of morbidity and mortality after hematopoietic stem cell transplantation (HSCT). Using a series of 5 illustrative cases, Dadwal and colleagues discuss preventative and preemptive therapy for the management of viral infections in patients undergoing HSCT.

IGOYE HEALTH LABORATORY

IGOYE HEALTH LABORATORY CENTER is the best health laboratory center that are established by Salumu V Igoye at a certain village known UGANSA to KALIUA district of TABORA regional.and igoye health laboratory center is on Progress to be established on APRIL 2023 by DMO/ RMO to approve to Work.

Igoye health laboratory center have the following infrastructure:-Investigation room, Reception room(phlebotomy room), waiting results room , toilet for both Sex, water supplies and incinerator.But the investigation room have the following equipments microscope, slide for microscope, centrifuge,deepfrizer/Refrigerator,ESR machine, glucopluas, Hemocytometer ,Gloves, …… extra.

The following test can found at affodable price at IGOYE HEALTH LABORATORY CENTER by starting in PRASTOLOGY SECTION,B’s,mRDT, Urinalysis,urine sediment and stool test urinary pregnancy test.HAEMATOLY SECTION , sickle cell test, Haemoglobin estimation, erythrocytes sedimentation rate, and Blood group.SEROLOGY SECTION,HIV, widal test, stomach ulcers,VDRL , Hepatitis B VIRUS,and Rhumatoide factor.CHEMISTRY SECTION,fast blood glucose and Random blood glucose.MICROBILOGY SECTION ,Gram staining procedures.

IGOYE HEALTH LABORATORY CENTER have the following qualified staff who works as tearm to reach goals of igoye health laboratory center:-CLINICAL OFFICER(1)as a owner and are registered to his/her board but ASSISTANT LABORATORY TECHNOLOGIST (1) LABORATORY TECHNOLOGIST (2) boths laboratory personnel have been registered to health laboratory practitioners council

Objective and strategies of IGOYE HEALTH LABORATORY CENTER include:-igoye health laboratory center to be registered by PHLN,Igoye health laboratory center to be a registered center for Research of Microbacterium tuberculosis (TB) at Ugansa and usinge village. PROVIDING ACCURATE RESULTS TO PATIENTS BY FOLLOW SOP ACCORDING TO TURN AROUND TIME and At next years to be registered as operating dispensary.

But any one in the world 🌎 who interested to support IGOYE HEALTH LABORATORY CENTER at TABORA regional, KALIUA district and ugansa village you my contact with 0744418332 or for wathapp number 0626349773 . email eldadlichard@gmail.com.